RAIS KIKWETE APOKEA MAJENGO MAPYA MATATU YA HUDUMA ZA MAMA NA MTOTO DAR ES SALAAM
Tuesday, December 11, 2012
![]() |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipewa saluti alipowasili kufungua rasmi jengo la Huduma za Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sinza Palestine Kinondoni jijini Dar es salaam leo December 12, 2012 |
KINANA NA SEKRETARIETI YAKE WAKUTANA NA MAKATIBU WA CCM WA MIKOA
Monday, December 10, 2012
MATUKIO MBALI MBALI YA SHEREHE ZA MIAKA 51 YA UHURU
Sunday, December 9, 2012
|
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakipiga Gwaride kwa mwendo wa haraka. |
Gozibety Mbwele (3)akipiga ngoma kwa umakini na kuwa kivutio cha hali ya juu,mbele yake ni Nyamburi Mganga (5) akicheza kwa umaridadi, watoto hawa ni wasanii kutoka kundi la Utandawazi,Mwanza |
Kikundi cha ngoma kutoka Rwanda kikitoa burudani ya kipekee uwanjani hapo. |
Watoto hodari wakishiriki katika halaiki kwenye sherehe ya kuadhimisha miaka 51 ya Uhuru. |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwatambulisha wageni waalikwa kutoka mataifa rafiki waliofika kushuhudia sherehe za miaka 51 ya Uhuru. |
No comments:
Post a Comment